a
Za 34:11
;
80:2
;
5:11
;
81:1
;
Isa 44:23
;
Sef 3:14
;
2Sam 22:47
b
Za 42:4
;
81:2
;
100:2
;
Mik 6:6
;
Efe 5:19
Psalms 95:1-2
Wimbo Wa Kumsifu Mungu
1
a
Njooni, tumwimbie
Bwana
kwa furaha;
tumfanyie kelele za shangwe
Mwamba wa wokovu wetu.
2
b
Tuje mbele zake kwa shukrani,
tumtukuze kwa vinanda na nyimbo.
Copyright information for
SwhNEN